FAIDA 7 (ADIMU) ZA KULA NYANYA CHUNGU

Furaha yangu ni kukuona wewe ukisoma makala hii. Unaweza kuwasiliana nami kwa namba - 0625 71 80 40

 

Kwa jina maarufu hujulikana kama Ngogwe. Hivyo tunaweza kusema ni FAIDA ZA KULA NGOGWE / The 7 benefits of African eggplants

Ni kungo muhimu sana ambacho watu wengi hukutumia katika mboga, Lakini ninaimani kuwa ni wachache wanaojua faida zake. Hapa nikutajia faida 7 muhimu ambazo ni lazima uzifahamu kuhusu nyanyan chungu (ngogwe).


1. Huboresha afya ya mwili

Ngogwe ni miongoni mwa mboga zenye virutubisho vingi  ikiwemo vitamin A, B na C. Hivyo huboresha afya ya mwili kwa ujumla.


2. Husaidia mzunguko wa damu

Ndani ya nyanya chungu kuna vitamin K inayosaidia kuipa nguvu mishipa ya damu hivyo husaidia zoezi la mzunguko wa damu katika miili yetu.

Mzunguko wa damu unapokuwa mzuri hata baadhi ya kazi zitakwenda vema ikiwemo katika suala la kujamiiana kwa mwanaume.


3. Kuuwa vijidudu mwilini

Kama jina lake lilivyo "Nyanya chungu" na ladha yake pia ni chungu. Na wataalamu wanasema kuwa hii ni sawa na dawa za 'antibiotic' ambayo husaidi kuuwa vijidudu mwilini.


4. Huongeza maji mwilini

Karibu asilimia 90 ya nyanya chungu ni maji, hivyo licha ya kuongeza maji mwilini lakini pia ina madini ya potassiam.

Soma Faida za maji mwilini


5. Kuimarisha ngozi

Hii ni kutokana na vitamin A vinavyopatikana kwa wingi katika ngogwe. Sambamba na kuimarisha ngozi na kuwa nyororo lakini pia huimarisha uwezo wa macho kuona vizuri.


6. Tumbo kujaa gesi

Nyanya chungu humsaidia mtu kuepukana na matatizo ya tumbo kujaa gesi lakini pia huwasaidia wanaume kuepukana na ugonjwa wa ngiri.

Soma pia Mazoezi 6 yanayo ongeza nguvu za kiume


7. Msaada kwa wenye kisukari

Nyanya chungu ni kiungo ambacho husaidia kupunguza kiwango cha sukari. 

Hivyo ni muhimu katika chakula chako kula nyanya chungu japo mara mbili kwa wiki ili kupata faida hizi hapa juu.

COMMENTS

BLOGGER: 4

 


 


TANGAZO TANGAZO

TANGAZO  TANGAZO

Follow - ili usipitwe

Kwa mawasiliano zaidi

Name

Afya,66,Blogging,18,Burudani,29,Dini,99,Maisha,38,Mashairi,52,Sitosahau,37,Teknolojia,7,Usichokijua,14,
ltr
item
mrbunduki: FAIDA 7 (ADIMU) ZA KULA NYANYA CHUNGU
FAIDA 7 (ADIMU) ZA KULA NYANYA CHUNGU
Furaha yangu ni kukuona wewe ukisoma makala hii. Unaweza kuwasiliana nami kwa namba - 0625 71 80 40
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgwjiottgZirVBsoAyft4f6posgvP2EkpYYdVvUJBCaSP8rEL1N6E9J_8in9Dk70XSs8yNmqEdsrBPiLZ8kwq6isOvuvrztTpelL21otZucufZ719cdUpZ7wcLPFauGpMwEBYwYkrTuQII/w320-h192/ngogwe.webp
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgwjiottgZirVBsoAyft4f6posgvP2EkpYYdVvUJBCaSP8rEL1N6E9J_8in9Dk70XSs8yNmqEdsrBPiLZ8kwq6isOvuvrztTpelL21otZucufZ719cdUpZ7wcLPFauGpMwEBYwYkrTuQII/s72-w320-c-h192/ngogwe.webp
mrbunduki
https://sayyidbunduki.blogspot.com/2021/02/faida-7-adimu-za-kula-nyanya-chungu.html
https://sayyidbunduki.blogspot.com/
https://sayyidbunduki.blogspot.com/
https://sayyidbunduki.blogspot.com/2021/02/faida-7-adimu-za-kula-nyanya-chungu.html
true
3501413861140022348
UTF-8
Loaded All Posts Hakuna chapisho lolote View All Read more Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All Recommended posts LABEL ARCHIVE Search/Tafuta ALL POSTS Bahati mbaya, Ulichotafuta hakipo Rudi nyumbani/Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS PREMIUM CONTENT IS LOCKED STEP 1: Share to a social network STEP 2: Click the link on your social network Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy Table of Content