Chini ya makala hii kuna sehemu imeandikwa 'follow' bonyeza hapo ili usipitwe na makala zetu kila siku.

Nazungumza nawe mwanaume mwenzangu ambaye unahisi umepungukiwa au unakosa nguvu za kiume, unawahi kumaliza tendo au unakosa nguvu za kuendelea.
Haya ni mazoezi manne ambayo yatakufanya kuwa imara zaidi ya ulivokuwa. Usikimbilie kutumia madawa yenye kemikali na sumu.
Huu ni muendelezo wa makala inayohusiana na mazoezi yanayo ongeza nguvu za kiume.
Tumeamua kuendelea kuandika mtiririko huu kutokana na muitikio mzuria ambao tuliuona katika makala ya kwanza.
Kama uliikosa basi nimekuwekea hapa chini (pita nayo)
Mazoezi 6 yanayo ongeza nguvu za kiume
Chini ya makala hii kuna sehemu imeandikwa 'follow' bonyeza hapo ili usipitwe na makala zetu kila siku.
1. Mazoezi ya kegel
Utafiti unaonesha kuwa mazoezi ya kegel yana faida kwa wanaume na wanawake. Jarida maarufu la healthline linasema kuwa mazoezi ya kegel husaidia viungo vilivyopo chini ya nyonga kuboresha mawasiliano na udhibiti wa kibofu cha mkojo sambamba na kuimarisha tendo la ngono.
Lala chali kisha amsha kiuno chako kuelekea juu na kushuka chini huku ukiwa umeweka nyayo zako chini (hii ni moja wapo ya mazoezi hayo)
Nimekuwekea picha hapa chini ili kujifunza aina tofauti za mazoezi ya kegel.

2. Kuruka kamba

3. Ruka Kichura
4. Usingizi
COMMENTS